Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ni bandika bandua kampeni za urais Kaskazini

Thursday , 8th Oct , 2015

Wakazi wa Arusha, Kilimanjaro na Manyara jana waliendelea kupokea Wagombea Urais kupita vyama CCM,CHADEMA, na ACT-Wazalendo katika maeneo yao huku wagombea hao wakiendelea kumwaga sera zao.

Mgombea wa Urais kupitia chama cha ACT- Wazalendo Anna Mghiwira.

Mgombea wa UKAWA kupitia chama cha CHADEMA, Mh. Edward Lowassa alihutubia mikutano yake katika majimbo ya Namanga na Longido Mkoani Arusha, wakati Mgombea wa CCM, Dkt. John Magufuli aliwahutbia wakazi wa Hai na Moshi Mjini huku Mgombea wa ACT- Wazalendo Anna Mghiwira akiwa Karatu Mkoani Manyara.

Kwa nyakati tofauti wagombea hao waliweza kueleza nia walizonazo huku Mh. Lowassa akiwashutumu wale wanamtuhumu kwa matusi majukwaani huku Dkt. Magufuli akitoa maagizo kwa Halmshari ya Moshi kuhusu Wafanyabiashara na Mama Anna Mghwira akiishtumu Serikali kuzembea katika Sekta ya Utalii.

Katika hatua nyingine kwa mara ya kwanza jana mgombea urais kupita chama cha NRA Bw. Janken Malik Kasambala alizungumza na Wananchi wa Mbagala katika mkutano wake wa kwanza toka kufungulia kwa mbio za kampeni.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali