Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikki Mbishi aumizwa na Fid Q, amtaka wazikane

Thursday , 14th Mar , 2019

Rapa anayeamianika kwa kufanya vyema kwenye mitindo huru nchini, Nikki Mbishi amekiri kuhuzunishwa na Rapa mwenzake Fareed Kubanda 'Fid Q' kwa kugawa 'CD' yake kwa mtu baada ya yeye kumpatia.

Rapa Fid Q

Mbishi amesema kwamba kitendo cha Fid Q kumpatia mtu mwingine CD ambayo yeye alimpatia kimempa ukakasi kidogo  lakini ameona hakuna shida japo yeye amemchukulia poa.

"Sikuelewa maana ya kukupatia copy ya album yangu na wewe ukagawa kwa yule jamaa halafu bure tena kwa mtu ambaye hakuwa hata na interest, ni bora ningebaki na CD yangu, maana nilikupa kwa heshima ila nikaona umeichukulia poa", amesema Mbishi.

Hata hivyo baada ya Mbishi kuanika kuumizwa kwake hadharan,i Rapa Wakazi amekiri kwamba Fid q ni kweli amemkosea rapa huyo huku akimfafanulia jambo linaloweza kuwa sababu.

"Kutakuwa na sababu kubwa nyuma yake. Labda ulikuwa umemuudhi hapo nyuma, akawa ameshikilia hisia ngumu", amesema Wakazi.

Pamoja na hayo, Rapa Fid Q, amemjibu Mbishi kwenye sintofahamu hiyop na kusema kwamba "Yule niliyempa CD ni mdau na anamiliki radio sauzi, nilifanya vile baada ya kumtambulisha kwako na nia yangu (niliitamka huku unaisikia) nilitaka akusikie ili ajue wewe ni mahiri kiasi gani na kama kuna uwezekano wa dili basi akupe..ni hayo tu"

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali