Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi Pwani yaua majambazi wanne

Friday , 12th Jul , 2019

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, limefanikiwa kuua majambazi wanne katika tukio la majibizano ya risasi, baina ya polisi na majambazi hayo huko eneo la Kwala, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi.

Taarifa hiyo imetolewa na Kamanda wa polisi mkoani humo, Wankyo Nyigesa, ambapo amesema, tukio hilo limetokea Julai 11,2019, majira ya saa 8 mchana baada ya kupata taarifa ya uwepo wa watu, waliopanga kwenda kuvamia na kupora fedha za malipo, kwa wafanyakazi wanaojenga Bandari Kavu ya Kwala.

"Jeshi la Polisi Mkoani hapa tuliweka mtego, na majambazi hao kujikuta wakinasa, na kuanzisha majibizano ya risasi na kupelekea majambazi wanne, kati ya sita wanaodhaniwa kuwepo kupoteza maisha" amesema RPC Wankyo.

Katika tukio hilo, majambazi hao wamekutwa wakiwa na bunduki mbili aina ya Pump action, Radio call moja, hirizi, dawa za kupulizia watu, kamba za kufungia watu na, Plasta za kuziba watu midomoni.

Vitu vingine ni pamoja na leseni za udereva, vitambulisho mbalimbali vya uraia, kadi ya bima ya afya, koti, kaniki, kanzu, suruali na kaptula .

Miili ya majambazi hao, imehifadhiwa katika hospitali ya rufaa ya Mkoa ya Tumbi.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine