Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli azungumzia afya ya Mama yake

Saturday , 13th Apr , 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amesema licha ya Mama yake mzazi kwa sasa anaumwa lakini hana sababu ya yeye kuchelewa kuhamia Dodoma kutokana na ahadi ambayo aliitoa.

Rais Magufuli ametoa kauli hiyo Jijini Dodoma wakati akizindua Mji wa Serikali ambapo amebainisha naada ya viongozi wakuu wa kitaifa kuhamia huko yeye yuko njiani kuhamia Dodoma.

Rais Magufuli amesema "nakuja Dodoma nilichelewa kidogo baada ya kuuguliwa na Mama yangu, ambaye mpaka sasa bado yupo hospitalini hawezi kuzungumza, hawezi kula lakini nawahakikishia nakuja Dodoma kwa sababu hakuna cha kunichelewesha kuja Dodoma."

Aidha Rais Magufuli ameongeza kuwa "wakati natoa ahadi wapo watu wachache ambao hawakuamini kama tutahamia Dodoma, na walikuwa na sababu ya kutoamini, kama tulishindwa kwa miaka 40, tungewezaje kwa miaka 3 lakini ahadi huwa ni deni."

Katika hatua nyingine Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Jenerali Mabeyo amesema kuwa "ndani ya nchi yetu kwa kushirikiana na vyombo vingine tutawalinda wananchi na mali zao, tutakabiliana na matishio ndani ya nchi yetu, na sasa hivi tunaendelea kufuatilia kauli tata zinazoashiria uchochezi na machafuko ndani ya nchi yetu"

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali