Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ridhiwani afungukia kauli ya baba yake

Monday , 24th Sep , 2018

Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete amezungumzia kauli ya Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete kuwa alivaa viatu mara ya kwanza baada ya kuruhusiwa kwenye mafunzo ya jadi kwa wanaume (jando) na kusema kauli hiyo inawajuza watu kuwa baba yake alifanya kazi kwa kujituma na kufikia mafanikio.

Rais mstaafu wa awamu ya nne, Dkt. Jakaya Kikwete (kulia), akiwa na mwanaye Ridhiwani Kikwete ambaye ni Mbunge wa Chalinze.

Kauli ya Ridhiwani Kikwete imekuja ikiwa ni siku chache tangu Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt Kikwete azindue usomaji wa kwanza wa kitabu chake alichokipa jina la safari ya kutoka shule bila viatu hadi Urais uzinduzi uliofanyika katika chuo kikuu cha Newyork nchini Marekani ambapo alitoa wito kwa wazazi pia kuwaunga mkono watoto wao kutimiza malengo yao.

Ridhiwani amesema " Ndo ukweli wenyewe huo, tukio hilo lazima watanzania wajue hakuna mafanikio yasiyokua na mapungufu yake, msione watu wamevaa vizuri na wana mafanikio watu wakaanza kusema ameiba lazima wafate historia wajue walipotokea na sio kuongea ongea bila msingi."

Mapema wiki hii Rais mstaafu Kikwete alisema "Nilipata viatu (raba) kwa mara ya kwanza  nilivyotoka jandoni ,nilikwenda navyo shule mwalimu akanambia kesho usije na viatu kila mtu hana viatu humu, kitu muhimu nachowashauri wazazi wawasaidie watoto wao kusoma, na watoto watimize wajibu wao wa kusoma.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine