Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali kupunguza idadi ya mizani barabarani

Saturday , 12th Sep , 2015

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa, amesema serikali ina mpango wa kupunguza vizuizi vya barabarani ambavyo vinawekwa kiholela, na kuchangia kuzorotesha maendeleo ya ukuaji wa chumi.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa, akizungumza na wanahabari.

Akizungumza jana mkoani Mtwara katika semina ya kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara na uwekezaji kwa maafisa biashara wa mikoa ya Lindi na Mtwara, amesema huo ni miongoni kwa mikakati iliyowekwa na wizara katika juhudi za kuondoa vikwazo kwa wafanya biashara.

Kwa upande wake, mkuu wa kitengo cha Matokeo Makubwa Sasa (BRN) kutoka wizara hiyo, Sekela Mwaisela, amesema Tanzania imetajwa kuwa nyuma katika uanzishaji wa biashara ukilinganisha na nchi nyingine duniani na kujikuta nafasi ya 119 kati nchi 189 zilizofanyiwa utafiti na Benki ya dunia mwaka jana.

Naye, kaimu katibu tawala wa mkoa wa Mtwara, Johansen Bukwali, amewataka maafisa biashara hao kuyatumia vizuri mafunzo hayo, kwasababu hali ya uchumi wa mkoa huo inaelekea kukua kwa kasi na kwamba viwanda zaidi ya 40 vinatarajiwa kujengwa kutokana na kuwepo kwa rasilimali za gesi na mafuta.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90