Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yateua Dodoma

Wednesday , 6th Dec , 2017

Serikali imeuteua mkoa wa Dodoma kuwa mwenyeji wa sherehe za maadhimisho ya kutimiza miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania bara yatakayofanyika Desemba 9, katika uwanja wa Jamhuri.

Mgeni rasmi katika sherehe hizo za maadhimisho anatarajiwa kuwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli.

Uongozi wa mkoa wa Dodoama ukiongozwa na Mkuu wa Mkoa umeunda kamati ya maandalizi kwa ajili ya sherehe hizo, na maandalizi muhimu tayari yamekamilika.

Akiongea na waandishi wa habari, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Bilinith Mahenge, ametaja kuwa maonesho hayo yatapambwa na  gwaride la heshima lililoandaliwa na vikosi vya ulinzi na usalama nchini, onesho la vikosi vya Komandoo, kwata ya kimyakimya na gwaride la mkoloni kutoka Jeshi la Polisi .

Kufanyika kwa gwaride la mkoloni katika maadhimisho hayo ya uhuru, itakuwa ni mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake.

Kauli mbiu mwaka huu ni 'Uhuru wetu ni tunu, tuudumishe, tulinde rasilimali zetu, tuwe wazalendo, tukemee rushwa na uzembe'.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine