Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yatoa neno kuhusu wastaafu

Tuesday , 16th Apr , 2019

Naibu Waziri wa Sera Bunge Kazi, na ajira, Anthony Mavunde amesema mpaka kufikia Februari 28, 2019 Serikali ilishwalipa wastaafu 9971 waliokuwa wanachama wa mfuko wa hifadhi ya jamii wa PSPF ambao wamelipwa zaidi ya shilingi bilioni 888.

Naibu Waziri Mavunde ametoa kauli hiyo wakati akijibu swali kwa niaba ya Waziri Mkuu ambalo liliulizwa na Mbunge wa Mbozi, Pascal Haonga ambapo alihoji juu ya hatma ya wastaafu.

Mbunge Haonga ameuliza kuwa, "watumishi wa Halmashauri nyingi waliokuwa wanachama wa PSPF, wamestaafu kwa zaidi ya mwaka 1, hawajalipwa pesa zao, lini Serikali itawalipa?".

Akijibu swali hilo, Mavunde amesema, "mpaka Februari 28, 2019 mfuko mpya wa PSSF ulikamilisha malipo ya wastaafu waliorithiwa PSPF jumla yao ni 9971 na wamelipwa Bil.888, mfumo wa ulipaji wa mafao ndani ya Mkoa umekamilika, na utafanya mfuko kulipa ndani ya muda wa kisheria."

Kwa sasa Bunge la bajeti linaendelea jijini Dodoma ambapo Mawaziri wameenda kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka fedha 2019/2020.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine