Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Suluhu inapatikana mezani nasio maandamano- Gambo

Thursday , 22nd Feb , 2018

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amefunguka na kuwashukuru Chama cha wafanyakazi Tanzania (TUCTA) kwa kuweza kutatua changamoto za wafanyakazi kwa kukaa nao mezani badala ya ule utaratibu wa zamani uliozoeleka wa kuandamana.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo

Gambo ameeleza hayo kupitia ukurasa wake maalumu wa kijamii asubuhi ya leo mara baada ya kupata taarifa ya mkoa wake kuchaguliwa kuwa wenyeji wa shughuli za Mei mosi kitaifa 2018.

"Tunawashukuru sana kwa kutupa heshima hii ya kuwa mwenyeji wa maadhimisho haya muhimu yanayohusu wafanyakazi wetu. Nimewapongeza kwa utaratibu wenu wa kutafuta suluhu ya changamoto za wafanyakazi kwa kukaa mezani na serikali badala ya utaratibu wa kizamani wa kuandamana", amesema Gambo.

Sherehe za hizo zilizopewa jina la 'Sikukuu ya wafanyakazi' huwa zinaanzimisha kila ifikapo mwezi wa Tano tarehe moja nchini Tanzania ambapo Rais wa nchi huwa anatumia jukwaa hilo kutatua shida na kero za wafanyakazi papo kwa hapo pamoja na kutangaza kushusha au kupandisha daraja za mishahara bila ya kusahau kodi ya kichwa.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90