Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sumaye aendelea kumsafisha Lowassa mikoani

Tuesday , 1st Sep , 2015

WAZIRI mkuu mstaafu Fredrick Sumaye amesema kuwa mgombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) waziri wa zamani Edward Lowassa hakuwa na kosa wakati wa Richmond alijitoa kafara kwaajili ya nchi na ndio maana hakufukuzwa kazi.

Waziri Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye akiwana mgombea urais kupitia Chadema,Edward Lowassa

Sumaye ameyasema hayo wakati akizungumza na wakazi wa mkoa wa Njombe katika mkutano wa kumnadi mgombea urais kupitia UKAWA Mkoani Njombe alisema kuwa Lowassa hakuwa na kosa na ndio maana aliamua kujiondoa mwenyewe na kuwa ndio maana hakufukuzwa.

Amesema kuwa kama Lowassa alikuwa ana kosa angefukuzwa wakati uleule na angechukuliwa hatia kipindi kile na kuwa alijiondoa kwa kulinda heshima ya Rais.

Lowassa aliamua kujitoa kama kondoo wa Kafara hakuwa na kosa na kama wakija CCM wawaulize baada ya hapo walifanya nini na hawataweza kudhibiti rushwa kwa kuwa Escrow walishindwa.

Amesema kuwa wananchi hawata pata umeme vijijini cha zaidi wanapewa adhabu ya kupandishiwa mafuta kwa kuwaogopa matajili wenye vituo vya mafuta.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine