Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tatizo la maji lamalizwa

Monday , 18th Sep , 2017

Serikali imefanikiwa kumaliza tatizo la maji safi na salama eneo la Kilungule B Kimara Jijini Dar es salaam,eneo ambalo halikua na huduma hiyo kwa kipindi cha zaidi ya miaka 20 na kusababisha usumbufu kwa wakazi wa eneo hilo.

Akizungumza leo mara baada ya kuzindua kizimba jamii cha maji safi kilichotengenezwa na shirika la maji safi na maji taka DAWASCO kupitia fedha zilizotolewa na serikali kuu Mkuu wa wilaya ya Ubungo Kisare Makore amesema maendeleo hayo yanayofanywa na serikali ni jukumu la kila mwana jamii kuhakikisha wanasimamia uzalishaji wa huduma hiyo ili kupunguza kero za maji.

Kwa upande wake meneja wa DAWASCO kwa eneo la Kimara Injinia Pascal Fumbuka amesema utekelezaji wa mradi huo ni wa kilomita nne na unatarajia kuhudumia wanachi zaidi ya elfu 5000 katika eneo hilo.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Kimara Pascal Manota amesema wanafanya jitihada za kuhakikisha maji hayo yanawanufaisha wanachi wa eneo hilo na jirani kwakuwa kwa kipindi cha nyuma yameripotiwa matukio mengi ya watu kuumia pindi wanapoenda kutafuta maji safi.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90