Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Tumshukuru Mungu kuzaliwa Tanzania" - Jerry Muro

Tuesday , 18th Dec , 2018

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Muro ametaka watanzania kuthamini uwepo wa rasilimali za Wanyamapori pamoja na uoto wa asili katika maeneo ya hifadhi za taifa, kwa kujenga utamaduni wa kutembelea maeneo hayo ili kujifunza umuhimu na nafasi ya uhifadhi katika mchango wa pato la Taifa.

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Muro

Jerry Muro ametoa wito huo katika kampeni maalumu ya kuhamasisha watanzania kutembelea hifadhi ya Arusha hasa katika kipindi hiki cha mapumziko ya mwisho wa mwaka.

Muro amesema kwamba watanzania wanapaswa kujenga utamaduni wa kutembelea vivutio vilivyopo nchini na kusisitiza kwamba vivutio hivyo havipo kwaajili ya wageni wanaotembelea Tanzania pekee.

"Mnapaswa kutenga muda wa kutembelea vivutio hivyo, ikiwa pamoja na kumshukuru Mungu kwa ajili ya kuzaliwa ndani ya nchi hii" amesema.

Hifadhi ya Taifa ya arusha ni miongoni mwa hifadhi chache ambazo zipo kilometa chache tu kutoka makao makuu ya jiji la arusha huku ikiwa ndio lango kuu la kupanda mlima Meru.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine