Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tunza fedha hali ni mbaya - Shigongo

Wednesday , 18th Jan , 2017

Mfanyabiashara na 'motivation spekear' Eric Shingongo amefunguka na kutoa darasa kwa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakifanya vitu nje ya uwezo wao ili tu kutaka kujionesha kwa watu kuwa na wao wanaweza au wana uwezo huo.

Eric Shigongo

Eric Shingongo amewasahi watu kutunza fedha na kufanya matumizi vizuri na kile wanachokitunza wasikae nacho tu ndani bali wanatakiwa kukiwekeza ili kiweze kuzalisha zaidi kuliko kukaa tu ndani.

"Mimi ni mfanyabiashara, hakuna kitu ninachokiangalia kama kubana matumizi yangu. Siwezi kununua kitu kwa milioni tano na wakati kuna uwezekano wa kukipata kwa milioni mbili tena kikiwa na ubora uleule. Kadri siku zinavyokwenda mbele, nabadilisha maisha yangu, sipendi kurundika vitu vingi vya bei kubwa, labda mwingine angeona fahari kumiliki nguo za bei mbaya, kwangu, siwezi kuishi maisha hayo". Alisema Eric Shingongo 

Shingongo anaendelea kusema kuwa hata kama una pesa kiasi gani kumbuka kubana matumizi ya fedha na unapaswa kufanya manunuzi kutokana na uwezo wako.

"Fanya manunuzi kutegemea na uwezo wako usifanye mambo ili uonekane! Tunza fedha hali ni mbaya, unayoitunza iwekeze. Ndugu yangu bana matumizi yako ya fedha na fanya manunuzi ya kawaida hata kama una fedha kiasi gani" alisisitiza Eric Shingongo 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90