Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Tuvumiliane tu" - Manara

Friday , 22nd Jun , 2018

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Klabu ya Simba SC, Haji Manara amewataka wafuasi wake wanamfuatilia kwenye mitandao yake ya kijamii kumvumilia katika kipindi hichi cha kombe la dunia kwa kuonyesha mapenzi yake kwa mchezaji Cristiano Ronaldo kutoka timu ya Ureno.

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Klabu ya Simba SC, Haji Manara.

Manara ameamua kumwaga povu hilo baada ya kuonyesha mapenzi yake kwa Ronaldo ambaye ameonyesha kung'aa sana katika kombe hili la dunia huku mpinzani Lionel Messi akionekana kujikongoja kutokana na Timu yake kuendelea kufanya vibaya tangu kuanza kwa mashindano hayo.

"Guys kuna kitu naomba mkielewa hususani wale wasioelewa maana ya ushabiki, duniani kote kuna aina mbili ya mashabiki kwa hawa watu wawili na mimi ni team Ronaldo..na raha ya ushabiki ni kuzodoana..sasa Team Messi mmepanic kama mmefumaniwa jamani!" Manara

"Najua Messi ni mchezaji bora kama Ronaldo..but msilazimishe sote tupende mtakacho hii ndio raha ya ushabiki kama ilivyo Simba na Yanga".

Kwa  kusisitiza Manara amesema "Tuvumiliane na msijaribu kunipangia cha kushabikia na kupost..hii si acc ya Simba wala ya mtu yoyote ni yangu binafsi..sichangiwi na mtu bando".

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu