Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uganda kuuza hisa kwa nchi za EAC

Friday , 8th Jul , 2016

Waziri wa Nishati na Madini, madini Mhe. Sospeter Muhongo, amesema kuwa Serikali ya Uganda itajenga kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi kwenye eneo la Kabaale wilani Hoima nchini humo.

Waziri wa Nishati na Madini, madini Mhe. Sospeter Muhongo.

Prof. Muhongo amesema hayo baada ya kutembelea eneo hilo nchini Uganda wakati wa vikao wa kujadili michakato wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Kabaale hadi katika bandari ya Tanga.

Amesema serikali ya Uganda imetoa jumla ya asilimia 40 ya Hisa ya kiwanda hicho kwa nchi tano za Afrika Mashariki zenye thamani ya zaidi ya dola milioni 150 za kimarekani ikiwa ni sawa na hisa nane kwa kila mmoja.

Ujenzi wa Bomba hilo kutoka nchini Uganda hadi Tanzania Mkoani Tanga utagharimu dola bilioni 3.55 na litakuwa na urefu wa kilimeta 1443 na uwezo wa kusafirisha mapipa laki mbili ya mafuta kwa siku.

Katika hatua nyingine ujumbe wa Tanzania na ule wa Uganda katika ujenzi wa bomba la mafuta umetembelea eneo la ziwa Albert na kuona visima vilivyochimbwa tayari kwa uzalishaji wa mafuta ghafi ambapo inakadiriwa kuwa na mapipa bilioni sita.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine