Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waandishi wapata mafunzo ya habari za Uchaguzi

Friday , 14th Aug , 2015

Baadhi ya wahariri na waandishi wa habari wa mikoa ya Dar es Selaam, Lindi, Mtwara na Ruvuma wanapatiwa mafunzo ya kuandika habari za uchaguzi ili kuhakikisha uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu unakuwa wa amani na utulivu.

Mkufunzi kutoka Shirika la BBC Media Action, Ichikaeli Maro.

Akizungumza mara baada ya kufungua mafunzo hayo leo Mkoani Mtwara, Mkufunzi kutoka Shirika la BBC Media Action, Ichikaeli Maro, amesema uchaguzi wa mwaka huu utakuwa wa tofauti na chaguzi zingine zilizopita kutokana na kuwa na wagombea wengi na vyama vingi vya siasa huku muamko wa kisiasa kwa wananchi ukiwa juu.

Kwa upande wake, katibu wa Klabu ya Waandishi wa Habari Dar es Selaam, Hussen Mgongolwa, amesema wapo baadhi ya waandishi ambao wanakumbwa na changamoto kutokana na kufanya kazi katika vyombo ambavyo wamiliki wake wanaushabiki na baadhi ya wanasiasa na kupelekea kuwaingiza katika matatizo

Mafunzo hayo yataendeshwa kwa siku tatu na Shirika la BBC Media Action kwa kushirikiana na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), kwa lengo la kuwafanya waandishi wahepukane na kuwa sehemu ya chanzo cha migogoro au vurugu zinazotokana na uchaguzi.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine