Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakadiria na kubambikizia wananchi madeni ya maji

Thursday , 19th May , 2016

Mbunge wa Mtwara Mjini Maftaha Nachuma CUF ameeleza Bungeni Mjini Dodoma katika Mkutano wa Bunge unaoendelea kwamba watendaji wenye mamlaka ya kusoma mita za maji mkoani humo hukadiria na kuwabambikizia wananchi madeni.

Mheshimiwa Spika Wizara inafahamu jambo hili ambapo wakati waziri anakuja mkoani Mtwara wananchi walimpokea kwa maandamano wakieleza kero ya watendaji wa idara ya maji kuwabambikia madeni kwa kutosoma mita na badala yake kukadiria matumizi ya maji kwa wananchi hao jambo ambalo linazua malalamiko mengi, ni ipi kauli ya serikali juu ya jambo hili?

Kufuatia tuhuma hizo za Mbunge huyo Waziri wa Maji Mhandisi. Gerson Lwenge amesema jambo hilo ni baya na ni kinyume na sheria kwa kuwa kila mwananchi anapaswa kulipia maji kulingana na matumizi na sii vinginevyo.

Waziri Lwenge ameongeza kuwa kitendo hicho kinapaswa kuachwa kwani huko ni kuwaumiza wananchi na hivyo maagizo ya serikali yafuatwe kuanzia sasa.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali