Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Walimu wa Sayansi wastaafu kurudishwa makazini

Monday , 6th Jun , 2016

Serikali ya Tanzania imesema kuwa katika kumaliza tatizo la walimu wa sayansi nchini serikali itatoa kipaumbele cha ajira kwa walimu wa masomo hayo lakini pia wataandaa utaratibu maalumu wa kuwarejesha walimu wastaafu wa masomo ya Sayansi.

Naibu wa Wizara ya TAMISEMI, Mhe. Seleman Jaffo

Akizungumza leo Bungeni Mjini Dodoma, katika kipindi cha maswali na majibu, Naibu wa Wizara ya TAMISEMI, Mhe. Seleman Jaffo amesema kuwa pamoja na utaratibu huo lakini pia wataandaa programu maalum ya kuwawezesha mbinu za kiufundishaji wahitimu wa elimu wa masomo ya sayansi ili kuwapa ajira.

Mhe. Jaffo amesema kwa sera ya ujenzi wa maabara kwa kila shule imeongeza changamoto ya hutaji wa walimu wa Sayansi hivyo kwa kufanya hivyo serikali itaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la uhaba wa walimu wa sayansi.

Aidha Mhe. Jaffo ameongeza kuwa serikali imetoa miongozo katika halmashauri zote nchini kuhusu suala la uchangiaji wa ada katika mashule huku ikisisitiza kutoa kipaumbele kwa walimu wa sayansi wanaotafuta ajira.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine