Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake wajasiriamali kukwamulia na UNCTAD

Friday , 15th Jul , 2016

Hatua zilizochukuliwa na kamati ya kimataifa ya biashara na maendeleo ya Umoja wa Mataifa, UNCTAD kupatia kipaumbele wanawake kwenye biashara na maendeleo zimeanza kuzaa matunda na kudhihirisha kuachana na maneno kwenda kwenye vitendo.

Katibu Mkuu wa UNCTAD Dkt. Mukhisa Kituyi

Akizungumza mjini Nairobi, Kenya kunakotarajiwa kuanza mkutano wa 14 wa kamati hiyo,Katibu Mkuu wa UNCTAD Dkt. Mukhisa Kituyi ametolea mfano uwezeshaji wanawake wajasiriamali wa mboga za majani nchini Tanzania kuweza kuuza bidhaa hizo kwenye hoteli za kitalii.

Dkt. Kituyi amesema kuwa kwa mda mrefu Tanzania ilikua inaagiza mbogamboga kutoka Kenya hivyo watawezesha wanwake wajasiriamali kutoka nchini Tanzania wanaofanyabishara ya kilimo cha mbogamboga kuwezeka kulima mboga za kiwango na kutosheleza soko la kwa ujumla.

Ametaja hatua nyingine ni kuhakikisha wanawake wanashiriki kwenye mikutano na kuwasilisha mada ambapo kwenye mkutano huo kutakua na mada maalumu ya jinsi ya kuhamisisha Wanawake katika biashara Kimataifa.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali