Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watakaofanya ubaguzi kibiashara kufungiwa Z'bar

Wednesday , 27th Jan , 2016

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibari imesema itawafungia na kuwapokonya leseni wafanyabiashara watakaobainika kubagua wananchi kwa kisingizio cha kisiasa.

Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa pili wa rais Mhe. Mohammed Abood Mohammed.

Kauli imekuja kufuatia taarifa kuzagaa ya kwamba tokea kutolewa tamko la kuridiwa uchaguzi kuna baadhi ya wafabiashara visiwani hawauzi baadhi ya watu wanapokwenda kwenye maduka hayo.

Tamko hilo limetolewa na Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa pili wa rais Mhe. Mohammed Abood Mohammed alipokua akizungumza na viongozi wa kiserikali wa mkoa wa kusini Pemba.

Aidha Mhe Abood amesema kuwa serikali imejipanga kuweka ulizni wa kutosha ili kuhakikisha amani na utulivu inadumu wakati wote wa Uchaguzi ,kuhesabu kura na hata baada ya Uchaguzi.

Hapo awali viongozi hao wa serikali wakiwemo mashekha pamoja na wazee wa CCM kumuomba waziri huyo kuweka ulizni wa kutosha wakati wa uchaguzi hasa katika maeneo ya vijijini.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90