Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watakaoingiza mifugo kwenye hifadhi, kukiona

Saturday , 22nd Oct , 2016

Serikali imewaonya wafugaji waishio kandokando ya hifadhi ya Serengeti kuacha mara moja kuingiza mifugo yao ndani ya hifadhi hiyo kwaajili ya kuchunga kwani maeneo hayo yametengwa kwaajili ya wanyama pori pekee na siyo kwa mifugo

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii ,Mhandisi Ramo Makani.

Akizungumza na wafugaji na wananchi wa Kijiji cha Kijereshi kinachopakana na Pori la Akiba la Kijereshi wilayani Busega Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii ,Mhandisi Ramo Makani amesema hifadhi za taifa hapa nchini hazina budi kulindwa na kutunzwa ili vizazi vijavyo viweze kuzifaidi.

Amesema baadhi ya wafugaji wa kijiji hicho na kijiji cha jirani wamekuwa wakiingiza mifugo yao katika pori hilo na katika hifadhi ya Serengeti nyakati za usiku na wanapokamatwa na askari huwapigia yowe na wengine hudai kuruhusiwa na viongozi wa kisiasa kuchunga huko.

Kwa upande wao wafugaji wa kijiji hicho wamesema eneo la Pori la Akiba la Kijereshi ni mali yao na kwamba kuna makaburi ya babu zao lakini wanashangaa serikali kulichukua na kwamba hawana maeneo ya kuchungia huku wengi wakikiri kuchungia mifugo yao maeneo ya hifadhini.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine