Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wawekezaji wasioendeleza ardhi kunyanganywa

Saturday , 27th Aug , 2016

Serikali imesema itawanyanganya ardhi wawekezaji waliohodhi ardhi ya Tanzania bila kuiendeleza.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, ambapo amewataka kuyaendeleza maeneo hayo haraka kabla serikali haijaamua vinginevyo.

Waziri Lukuvi pia amewaagiza wawekezaji wanaohitaji ardhi kwa ajili ya shughuli za uwekezaji ikiwemo viwanda, kuacha kununua ardhi moja kwa moja katika vijiji, na badala yake kutuma maombi katika wizara yake au kupitia Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC).

Amesema ili kumaliza migogoro mbalimbali ya ardhi ambayo hutokea mara kwa mara kati ya wananchi na wawekezaji, hivi sasa serikali inaandaa muongozo maalum ambao utaeleza namna sahihi ya utumiaji na ugawaji wa ardhi.

Amekitaka Kituo cha Uwekezaji (TIC) kutoa ushirikiano wa kutosha katika kuhudumia wawekezaji hususani katika masuala ya ardhi kwa kushirikiana na wizara hiyo

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu