Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri atumia kauli ya CAG

Wednesday , 17th Apr , 2019

Waziri wa Viwanda na Biashara, Joseph Kakunda, amedai wizara yake ina udhaifu mkubwa katika baadhi ya maeneo ikiwemo kushindwa kusimamia utekelezaji wa sera ya viwanda, kwa kukosa wataalamu wa sera ya viwanda kwenye ngazi za Mikoa na Halmashauri.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Joseph Kakunda.

Waziri Kakunda ametoa kauli hiyo jijini Dar es salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari, ambapo amesema ukosefu wa maofisa wa viwanda mikoani na kwenye Halmashauri kumeleta udhaifu kwenye upatikanaji wa taarifa sahihi kuhusu usajili wa viwanda.

"Napenda nikiri wizara yangu ina udhaifu mkubwa katika kusimamia utekelezaji wa sera zilizo chini ya uratibu wake, ni vizuri utaratibu wa utekelezaji wa majukumu ikiwamo takwimu za viwanda uanzie kwenye halmashauri."

Ikumbukwe kuwa Matumizi ya msamiati 'dhaifu' umepelekea mvutano wa maneno baina ya Spika wa Bunge na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali nchini, CAG Profesa Assad baada ya kutoa kauli hiyo akiwa nje ya nchi na kupelekea kuitwa kwenye kikao cha kamati ya maadili ya Bunge. Ripoti kutoka katika kikao hicho iliazimia kutofanya kazi na CAG huku mwenyewe akisisitiza kuendelea kulitumia neno hilo.

Aprili 14, 2019 Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai alimtaka CAG kujitafakari kwenda kujieleza kwa Rais baada ya Bunge kufikia maamuzi dhidi yake.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90