Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hatuwezi kuitukuza dhambi - Mwigulu

Monday , 22nd May , 2017

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mwigulu Nchemba ametoa agizo kali kwa kusema yeyote atakayebainika kumpa mwanafunzi mimba atachukuliwa adhabu kali dhidi yake na endapo mzazi naye atashabikia hilo naye atahukumiwa kwenye uovu huo pia.

Mhe. Mwigulu amesema hayo pindi alipokuwa anachangia hoja bungeni  Dodoma zilizokuwa zimemgusa na kusema imekuwa kawaida kwa viongozi pamoja na wazazi kutohangaika kujua ni namna gani ya kuwalinda wanafunzi wanaopata mimba, na badala yake wanahangaika kuhalalisha kuruhusu wanafunzi waliopata mimba kuendelea na masomo yao kama kawaida.

“Hatuwezi tukaipa dhambi jina zuri na baadae tukaitukuza. Watoto wengi wakipata mimba hatuangaiki ku-'protect' kwanini wanapata mimba, kwanini tusizuie wasipate mimba utotoni.Tunahangaika kutaka kuhalalalisha wapate mimba, Namimi nasema kama Waziri wa mambo ya ndani ya nchi atakayempa mimba mwanafunzi tutamkamata na atafika katika mikono ya sheria, mzazi atakaye shabikia mwanafunzi kupewa mimba na yeye atakuwa ameshiriki kwenye uovu wa hilo"- alisema Mwigulu

Pamoja na hayo Mhe. Mwigulu amesema kuwa mtoto mdogo aliyopo shuleni akaruhusu masuala ya kupata mimba basi atambue amekiuka maadili ya elimu, mila, imani pamoja na maadili ya sheria za nchi.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine