Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Amber Lulu apora mume wa mtu

Tuesday , 19th Mar , 2019

Msanii wa kizazi kipya asiyekaukiwa na vituko mjini, Amber Lulu anadaiwa kumpora mpenzi wa msanii mwenzake anayejulikana kwa jina la Haitham Kim.

Amber Lulu

Stori za Amber Lulu kumpokonya Haitham mpenzi ambaye pia ni mzazi mwenzake, zilianzia kwenye mitandao ya kijamii baada ya msanii huyo ku-post picha ya kaka huyo na kisha kuweka alama ya makopa kopa.

Kama hiyo haitoshi, Amber Lulu aliweka maneno yenye utata kwenye ukurasa wake wa Instagram akirusha jiwe gizani ambalo limetafsiriwa kuwa ni dongo la msanii mwenzake.

"Ungetaka awe wa kwako peke ako ungemzaa wewe,  kwani si atuna macho, sirembii", ameandika Amber Lulu.

Hata hivyo baada ya ujumbe huo Haitham katika ukurasa wake aliweka picha ya ua jeusi na ujumbe wenye kuashiria kuvunjika kwa mahusiano yake na Baba wa mtoto wake.

Pamoja na hayo, katika kuonyesha ugomvi anauweza Amber Lulu akampost mwanaume huyo kwa maneno kwamba,"mwendo wa kuenjoy  miluzii kidogo".

Katika kutaka kuthibitisha tuhuma hizo kama zina ukweli, Amber hakupatikana katika simu yake ya mkononi huku Haitham Kim simu yake ikiwa hapokelewi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali