Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Angekuwepo mama yangu asingeniacha'' - Namara

Wednesday , 19th Jun , 2019

Msichana Namara George ambaye hakuwahi kumjua mama yake kwa zaidi ya miaka 30, baada ya kutenganishwa naye, amesema moja ya tukio lililomuumiza sana maishani mwake, na kutamani uwepo wa mama yake ili kumfariji.

Akizungumza na www.eatv.tv Namara amesema kwamba, siku ambayo alipata msiba wa kufiwa na mtoto wake, ndipo alipotamani mama yake angelikuwa karibu naye ili amfariji, baada ya kuona kila aliyekuja kumfariji akiondoka nyumbani kwake.

“Unajua baada ya mimi pia kupata mtoto ndio nikajua alichokipitia mama yangu, lakini kama kuna siku niliumia zaidi na kutamani uwepo wa mama, ni pale nilipofiwa na mtoto wangu, kila mtu aliniacha na kuondoka, nikasema mama yangu angekuwepo asingeniacha”, alisikika Namara akisimulia huku akitokwa na machozi.

Namara amesema licha ya baba yake kujitahidi kumlea na kumpa kila alichohitaji, lakini siku zote alikuwa akisali na kumuomba Mungu, amsadie akutane na mama yake, jambo ambalo limetimia kwa mwaka huu baada ya zaidi ya miaka 30 kupita.
 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90