Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baraka aikimbia Tanzania, akataa kuitwa tapeli

Saturday , 13th Jul , 2019

Msanii wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini Tanzania Barakah the Prince, ameeleza kuwa kwa sasa ana makazi nchini Kenya na amekataa suala la yeye kuitwa tapeli.

Barakah amesema hayo kupitia kipindi cha Friday Night Live "FNL" ya EATV, baada ya kuulizwa kama amehamia nchini Kenya.

"Kwakweli nina makazi Kenya, nina makazi hapa , sijakimbia Tanzania bado nina familia hapa, nina nyumba na ninaishi hapa. Nimeenda Kenya kwa sababu nataka kutanua wigo na soko la muziki wangu, nataka soko langu liwe kubwa kwa Afrika mashariki"

Aidha msanii huyo amezungumzia suala lililokuwa linaendelea mtandaoni la yeye kudaiwa na kuitwa tapeli kwa kusema, "hivo vitu vinatokea kwa sababu mimi ni mtu maarufu, sio mimi tu hata wanasiasa wakubwa, mabilionea nao wanaitwa matapeli, kwahiyo hamna kitu chochote kilichokuwa kinaendelea kati yangu mimi na ile stori iliyokuwepo" amesema.

Pia msanii huyo amedokeza ujio wa ndoa na mpenzi wake Naj itakayofanyika mwaka huu, baada ya wawili hao kuishi katika mahusiano kwa miaka mitano.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90