Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bob Maneck aja na mapinduzi katika muziki

Friday , 24th Mar , 2017

Mtayarishaji wa muziki Bob Maneck kutoka AM Records amesema anategemea kuachia kitabu chake kinachoelekeza na kufundisha masuala ya muziki hivi karibuni baada ya jambo hilo kushindikana mwaka 2016.

Mtayarishaji wa muziki Bob Maneck akiwa studio

Maneck amesema tatizo lilipolekea kushindwa kukitoa kitabu hicho ni kutokana na kutafuta waandishi waliobobea katika fani hiyo ili waweze kukiandika vizuri ili mradi kisiweze kumchosha msomaji mwenye nia ya kutaka kujifunza.

"Kwa jinsi nilivyopanga mimi na namna walivyoniambia wao sikutaka kitabu changu kiwe kirefu mpaka kimchoshe msomaji lakini jisni walivyoniambia kwamba kitabu kina kanuni zake, kuna vitu lazima vitimie ili kipitishwe na watu fulani ndiyo kikamilike kabisa" Alisema Maneck

Aidha 'Producer' huyo amesema wapo katika hatua za mwisho na mpaka kufikia mwezi wa sita kitakuwa kipo mtaani rasmi huku akifafanua maudhui ya kitabu hicho kuwa kitakuwa kimeegemea zaidi kwenye ujuzi wa 'production' ya muziki kwa sababu wengi wamekuwa wakifanya kazi hizo kama kipaji na siyo kusomea.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine