Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chris Brown kupandishwa mahakamani

Saturday , 6th Jul , 2019

Balaa linazidi kumuandama staa wa muziki duniani Chris Brown, baada ya kufunguliwa mashtaka mapya mahakamani na mzazi mwenzake Nia Guzman.

Chris Brown

Nia Guzman ambaye ana mtoto mmoja na Chris Brown aitwae Royality, amemfungulia kesi staa huyo kwa kosa la kutotoa pesa za huduma ya matumizi kwa mtoto na amesema amefungua mashtaka hayo baada ya kuona Chris Brown amegoma kulipa shilingi milioni 40 alizoambiwa alipe na mahakama mwezi wa pili mwaka huu.

"Huwa hashiriki katika kutoa msaada wa matumizi ya mtoto wake na gharama zimeongezeka, huwa anapuuza matangazo yanayotolewa na mahakama katika suluhisho ya malezi ya mtoto. Nataka kurejeshewa gharama zangu zote nilizokuwa natoa tangu mwanzo wa kesi, pia alipie thamani ya nyumba aliyokubali kulipa, jumla nataka milioni 592".

Chris Brown na mtoto wake Royalty

Aidha mama wa mtoto huyo amedai kuwa kwa sasa anapitia wakati mgumu wa kumlea mtoto huyo kwa sababu hana kazi na hapati msaada wowote kutoka kwa Chris Brown ambaye anaingiza kiasi cha bilioni 16 kwa mwaka.

Mbali na kesi hiyo mama huyo amesema anataka milioni 15 kwa kila mwezi kwa matumizi ya mtoto huyo, japokuwa Chris Brown mwenyewe aliwahi kulalamika kuwa mama mtoto huyo huwa anaongeza pesa kwa aajili ya matumizi yake binafsi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali