Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dance100% imewafanya vijana kuwa wamoja – BASATA

Monday , 26th Sep , 2016

Baraza la Sanaa Tanzania BASATA limesema Shindano la Dance100% lililomalizika Jumamosi katika viwanja vya Don Bosco Jijini Dar es salaam limewafanya vijana kuwa wamoja na kujenga urafiki.

Mkuu wa Matukio kutoka BASATA Kurwijira N Maregesi

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Matukio kutoka BASATA Kurwijira N Maregesi alipokuwa akitoa tathmini yake kuhusu namna shindano la Dance100% lilivyofanyika mwaka huu kuanzia mwanzo hadi mwisho.

“Dance100% mwaka huu imekuwa na mwamko wa aina yake jambo ambalo linaashiria kwamba jamii inazidi kupata hamasa juu ya shindano na vijana kwa muamko ambao umeonekana wameweza kujenga umoja na mshikamano jambo ambalo ni jema katika jamii” Amesema Maregesi.

Maregesi ameongeza kuwa licha ya mbali umoja ambao umejengeka baina ya makundi ila wengine wanaweza kujipatia ajira kwani shindano hilo limetazamwa na watu wengi na wasanii ambao wanaweza kutaka wachezaji katika kazi zao pamoja na kushiriki shughuli mbalimbali za kitaifa na za kijamii.

Shindano la Dance100% limemalizika kwa kundi la Team Makorokocho kuibuka kidedea na kuondoka na kitita cha milioni 7 wakifuatiwa na kundi la J Combat kutoka Zanzibar ambao wameibuka na kitita cha milioni mbili na kundi lililoshika nafasi ya tatu ni D.D.I Crew ambao wamejipatia shilingi milioni moja.

Matukio yote ya Dance100% 2016 yataoneshwa na EATV siku ya Jumapili saa moja jioni.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine