Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

EATV Awards zimeniweka pazuri - Khadija Ally

Tuesday , 13th Dec , 2016

Msanii wa filamu nchini Tanzania ambaye alikuwa kwenye kinyang'anyiro cha muigizaji bora wa kike katika tuzo za muziki na filamu za EATV, Khadija Ally ameibuka na kutoa shukrani zake kwa EATV, wadhamini wa tuzo hizo pamoja na watu waliompigia kura.

Khadija Ally

Khadija ambaye aliingia kwenye tuzo hizo kupitia movie yake ya 3Days, ametoa shukrani kupitia ujumbe mfupi alioutuma kwa wadau wote, na kusema kuwa tuzo hizo zimemuweka mahala pazuri katika tasnia ya filamu nchini licha ya kutoshinda katika kipengele hicho.

Pia Khadija hakusita kuwapongeza wasanii wenzake aliokuwa nao katika kipengele hicho hasa mshindi ambaye ni Chuchu Hansy, huku akisema kuwa wasanii wote walikuwa bora, lakini ni lazima mshindi awe mmoja, hivyo inategemeana na bahati ya mtu, na kwamba anakubaliana na maamuzi yaliyotokea.

Khadija amesema "Kwanza kabisa nashukuru Eatv, East Africa Radio, Vodacom, Cocacola na Barclays bank kwa kuandaa Eatv Awards mie nasema asanteni na asiyekubali kushindwa si mshindani pia nawapongeza wote waliopata tunzo, na ninaamini wote tulikua bora ila kupata tunzo ni bahati tu". 

Baadhi ya washiriki wakifuatilia tukio la utoaji tuzo katika ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine