Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Irene Uwoya amfungukia Dogo Janja

Sunday , 9th Dec , 2018

Msanii wa filamu nchini, Irene Uwoya ambaye amewahi kuwa mke wa mwanamuziki Dogo Janja, amesema kuwa anachokifanya msanii huyo kwa sasa ni kizuri na kinatakiwa kiendelezwe ikiwa ni katika kurudisha msaada kwa jamii yake.

Msanii wa filamu nchini, Irene Uwoya, akiwa na Dogo Janja.

Uwoya amezungumza hayo katika uzinduzi wa filamu mpya ya msanii mwenzake, Gambo Zigamba ambapo amesema kuwa suala la kutoa misaada kwa jamii ni jambo jema na ambalo linatakiwa kuwekewa muendelezo.

"Ni kitu kizuri kufanya vile maana inarudisha fadhila kwa mashabiki, na anatakiwa kuendeleza zaidi na zaidi", amesema Uwoya.

Mbali na Dogo Janja kumkabidhi mama yake mzazi nyumba aliyomjengea, pia alirudi kwenye shule ya msingi aliyosoma jijini Arusha, shule ya msingi Ungalimited na kutoa ndoo ishirini za rangi pamoja na kukarabati shule hiyo kwa kuezeka mabati.

Ikumbukwe kuwa wawili hao walikuwa kwenye mahusiano ambayo yalipelekea hadi kufunga ndoa, lakini siku za karibuni ukaribu wao umepungua ambapo inasemekana kuwa wameachana kutokana na kila mmoja kufanya mambo yake mwenyewe.

Hakuna kati yao aliyethibitisha kuachana kwao lakini Irene Uwoya hivi karibuni aliwahi kusema kuwa hakuwahi kubadili dini na kuwa Muislamu, hali inayoonesha kuwa mapenzi yao sasa yamefikia mwisho.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu