Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Joh: Muziki wa zamani, wa sasa yote ni sawa

Saturday , 13th Jun , 2015

Rapa Joh Makini, ametoa mtazamo wake kuhusiana na uzuri na ubora wa muziki wa zamani ukilinganishwa na ule unaofanyika sasa

Shetta, Joh Makini & Nah Reel

Rapa Joh Makini, ametoa mtazamo wake kuhusiana na uzuri na ubora wa muziki wa zamani ukilinganishwa na ule unaofanyika sasa na kusema kuwa mtazamo huo unachangiwa na mabadiliko ya sanaa hiyo kulingana na kizazi husika, swala la uzuri na ubaya wa muziki wenyewe likiwa linahusika pande zote mbili.

Star huyo ambaye anafanya vizuri katika chati za muziki wa kizazi kipya akiwakilisha miondoko ya Hip Hop, amekazia kuwa kila muziki unabeba uzuri wake kulingana na kizazi husika.

Joh Makini amezungumzia haya kuonesha msimamo wake kuhusiana na mtazamo kuwa muziki na wasanii waliokuwa wanafanya sanaa hiyo zamani ndio wanasanaa na muziki wao ndo wa kweli zaidi kuliko ule ambao unafanyika sasa.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine