Monday , 22nd Feb , 2016

Mwimbaji kutoka NIgeria Davido ameweka wazi kuwa alimlipa Meek Mill fedha ili afanya naye collabo ya ‘Fans Mi’.

DAVIDO NA MEEK MILL.

Davido amefanya mahojiano na jarida la Fader toleo la February/March 2016 na kuthibitisha kuwa alimlipa rapa huyo kutoka Marekani Meek Mill kiasi cha dola laki mbili ‘$200,000’ sawa na shilingi milioni 436 za kitanzania ili kufanya naye wimbo wa “Fans Mi”.