msanii wa maigizo wa Kenya Mama Kayai
Mama Kayai amesema kuwa hii ni kutokana na sababu za kimaadili, huku akisema kuwa filamu ambazo zinatengenezwa nchini Kenya zinakuwa na ubora mkubwa kuliko zile zinazofanywa huko Marekani.
Msanii huyu amejipatia umarufu mkubwa kupitia vichekesho maarufu vya Vitimbi, sambamba na mumewe wa kimaigizo ambaye anatambulika na mashabiki wake kwa jina Mzee Ojwang.


