Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nay amchokonoa Madee kwenye uandishi

Thursday , 19th Jan , 2017

Rapa Nay wa Mitego baada ya kusikiliza wimbo wa Madee 'Hela' katika kipindi cha Planet Bongo EA Radio amefunguka na kumtaka msanii kutoka 'WCB Wasafi' Rayvanny kuja kumsaidia kaka yake huyo (Madee) katika uandishi.

Nay wa Mitego

Nay amesema kuwa akisiliza wimbo huo anaona kuna haja Raymond kumsaidia Madee kuandika kwani katika wimbo huo yeye amependa 'beat' kwa kuwa ni beat kali pamoja na baadhi ya vitu lakini kwenye uandishi wa wimbo huo 'Hela' hakuna kitu.

"Kwanza huu wimbo ni wimbo wa nani? Madee huyu huyu naye mjua mimi? Hii mistari napoisikia naona kuna haja Raymond aje kumsaidia kaka yake kuandika mistari. Aisee Raymond huyu Madee ni baba yako, huyu ni kaka yako njoo umsaidie, nasikiliza huu wimbo nakuona Raymond unahitajika kuja kuwasaidia kaka zako ambazo walikusaidia mpaka leo umefikia hapo" alisema Nay wa Mitego 

Uamuzi huu wa Nay kuiponda waziwazi kazi ya Madee unaweza kuzaa vita mpya ya maneno au ya kazi kati ya wasanii hawa wawili ambao wote wanatokea Manzese

Madee

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine