Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikki adai Zilla ana-Stress

Saturday , 17th Jun , 2017

Rapa Nikki Mbishi amedai Godzillah anaumizwa na 'stress' za kuporomoka kimuziki kitu ambacho hakukitarajia kutokea mapema kwenye maisha yake ndio maana amekuwa akitapa tapa kwa kumtolea maneno ya kashfa kwenye kila mahojiano anayofanya.

Akizungumza kwenye kipindi cha Planet bongo, Nikki amefunguka na kusema kwamba Mfalme huyo wa Salasala alibebwa na watu kwenye muziki na ndiyo waliomtupa na sehemu ambayo imemfanya ashindwe kuamka sababu inayomfanya hata kufikia kumtaja kwenye mahojiano mara kwa mara ili azidi kusikika.

"Zizi ameshushwa na waliompandisha bila yeye kutarajia hilo. Ametupwa halafu ameenda kuporomokea sehemu ambayo hata hajui atanyanyukaje, halafu ana watu wake anahitaji kuwasema ila anaona Nikki mwanangu nikiongea nitammudu fresh, kwanini awe muoga mbona mimi nawaambiaga,” Nikki alifunguka.

Aidha Nikki amejibu kauli ya Zillah kumuita 'Wack' na kusema kuwa haelewi ni sababu gani zimemfanya msanii huyo kutumia kauli hiyo huku akihoji labda kama anaishi maisha ya kuigiza kama msanii huyo ingekuwa sawa..

'Ukiniita mimi 'wack' kwa maana ipi, labda sijui kuandika, au 'wack' kama yeye hajui anachokifanya? anaishi maisha ya kuigiza, kujifanya wewe unaisha maisha ya Ulaya wakati upo Salasala unadanganya watu kuna all stars zimeninginizwa kwenye nyaya za umeme whichi is not true. Ana stress zake kaenda kwenye ufalme ambao sio wake sasa karudi huku ambako pengine alitakiwa awepo amekuta wafalme ni wengine na sio yeye tena,” Nikki aliongeza.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine