Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Niliumia nilivyoandikwa nimemtukana Ngwea"-Dimpoz

Tuesday , 24th May , 2016

Ikiwa zimesalia siku chache tu kuadhimishwa kwa miaka mitatu ya kifo cha msanii wa Hip Hop na mkali wa Free style Albert Mangwea, Ommy Dimpoz amefunguka mengi kuhusu msanii huyo.

Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Ommy Dimpoz ambaye ni moja kati ya miongoni mwa watu walioathiriwa na msiba wa Ngwair, amemzungumzia msanii huyo na kusema Tanzania imepoteza icon.

“Tanzania ilipoteza icon, mtu ambaye anafanya muziki wa kipekee, mtu ambaye alikuja na flow za kipekee na muziki wa kipekee, pengine muziki ambao watu walikuwa kidogo wanaogopa kuufanya, kwa sababu kulikuwa na aina fulani ya muziki ina trend ya hip hop, lakini akaja na vitu fulani vya kipeke yake”, alisema Ommy Dimpoz.

Pia Ommy Dimpoz amezungumzia suala ambalo anasema lilimuumiza zaidi baada ya kutokea kwa kifo cha Ngwea, na kusema ukweli halisi ni kwamba alikuwa anamkubali sana msanii huyo, tofauti na media zilivyoripoti kwamba alimtukana baada ya kifo chake.

“Kipindi ambacho hata mimi nimepata matatizo yale ya kuandikwa kwamba mimi nimetukana, lakini naweza kusema kwamba mwenyezi Mungu anawafikishaga ujumbe wale waliotangulia au wanasikia, basi mwenyewe kabisa nina uhakika hata aliko anajua kwamba mdogo wangu alikuwa ananipenda”, alisema Ommy Dimpoz.

Albert Mangwea alifariki tarehe 28 Mei 2013 akiwa nchini Afrika Kusini

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine