Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nitapunguza kichwa, miguu ila tumbo 'no" - Msechu

Monday , 11th Feb , 2019

Msanii wa Bongo Fleva, Peter Msechu amesema pamoja na kufanya mazoezi ya kupunguza unene ila hatathubutu kupunguza tumbo lake kwa kuwa ndio utambulisho wake, hivyo anapambana kupunguza kichwa, miguu, shingo, kifua na si tumbo. 

Peter Msechu

Akizungumza na eNEWZ, Peter Msechu amesema mabadiliko hayawezi kuonekana mapema kama mtu hafuatilii kwa makini kwa kuwa ameanza mazoezi tangu mwezi Machi mwaka uliopita.

Amesema alikuwa na kilo 132 ila kwa sasa ana kilo mia moja na kumi na watu hawajui kuwa anafanya mazoezi kwa afya lakini kitu ambacho hatoweza kupunguza ni tumbo lake na wala hafanyi mazoezi ili kupunguza tumbo.

"Nitapunguza kila kitu ila tumbo sipunguzi, nitapunguza hipsi miguu, kichwa, kifua, lakini tumbo nalimaintain pale pale kwa sababu ndio silaha,  tumbo ni rahisi zaidi kuliongeza kuliko kulipunguza mimi nagonga wali maharage linazidi kurefuka tu na sijafeli kulipunguza kama watu wanavyosema na watu wasione nafanya 'gym'".

"Wajuwe nataka kupunguza tumbo halafu kwanza hakuna anayenipa hela ya gym", amesema Peter Msechu.

Hata hivyo amemaliza kwa kusema kuwa harusi yake atafunga baada ya miaka mitano kwa kuwa anasubiri pete aliyomvisha mpenzi wake ichakae ndio maana amekuwa kimya na anafikiri kumuoa mpenzi wake huyo baada ya miaka mitano kwa kuwa tayari ameshakaa nae kwa miaka sita, hivyo ndani ya miaka hiyo sita kwake yeye ni kama ndoa na harusi yake anataka ifungwe kwenye maji.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali