Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sheikh Yahaya amtabiria Dimpoz makubwa

Thursday , 21st Feb , 2019

Mtoto wa mtabiri maarufu Tanzania, Maalim Hassan Sheikh Yahaya Hussein, ametoa utabiri wake juu ya msanii Ommy Dimpoz, na kusema kwamba msanii huyo atainuka tena kwa spidi kubwa ziadi, na kazi zake zitafanya vizuri.

Akizungumza na Big Chawa kwenye Planet  Bongo ya East Africa Radio, Maalim Yahaya amesema kwamba ingawa Ommy Dimpoz watu walishamkatia tamaa, lakini msanii huyo atawashangza wengi pale atakapoinuka, na wale wanaomsema vibaya hawataamini kitakachotokea.

“Ommy Dimpoz tena walikuwa wanamtabiria vibaya, ndio atakuja ataibuka vibaya sana, kwa sababu watu wanamuona anakwenda shimoni lakini atarudi vizuri, nyota yake ni mapacha, mapacha asili yake ni upepo na upepo uko flexible, huwezi kupumua bila hewa, namtabiria Ommy ataibuka sana, na wale waliokuwa wanamsemea vibaya watashangaa”, amesema Maalim yahaya.

Sambamba na utabiri huo, Maalim Yahaya amewatabiria wasanii wakubwa kufanya vizuri zaidi kwa mwaka huu, hata wale ambao wanachipukia watakuwa zaidi na kuwafunika wale wakubwa.

“Wasanii watapata tuzo hasa wale wakubwa, mfano Alikiba anaonekana atakwenda juu zaidi, Jaydee atakuwa very strong akitoka atatoka vizuri sana, na wasanii wengine”, amesema Maalim Husein.

Mtabiri huyo amesema kwamba mwaka huu licha ya mafanikio watakayoyapata wasanii, pia utakuwa mwaka wa maafa kwao kutokana na kuwa mwaka mgumu.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90