Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Shindano la Dance100% lifike mikoani - Jokate

Wednesday , 28th Sep , 2016

Mrembo Jokate Mwegelo ameshauri shindano la Dance 100% lijalo lifike mikoani ili kuweza kupata vipaji vingi zaidi kuliko ilivyo sasa ambapo vijana wanaopenda kushiriki hulazimika kuja Jijini Dar es salaam.

Jokate Mwegelo

Jokate ameyasema hayo Jijini Dar es Salaam aliposhiriki kutazama fainali za Dance100% zilizofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Don Bosco Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na mamia ya watizamaji.

“Ni mara yangu ya kwanza kushuhudia shindano hili nilikuwa sujui kama huwa linapendeza na kuvutia namna hii, kumbe kuna vipaji vingi sana vipo mtaani kama hapa hali niliyoiona ndiyo hii” Amesema Jokate.

Jokate ameongeza kuwa kama shindano la Dance100% litafika mikoani litaifanya jamii kuwa na muamko zaidi na kuwafanya vijana kujumuika pamoja na kufahamiana kupitia shindano hilo.

Shindano la Dance100% kwa mwaka huu limemalizika na matukio yote yataoneshwa siku ya Jumapili saa moja jioni kupitia EATV.

Aidha mwaka huu kundi la Team Makorokocho liliibuka na ushindi na kujinyakulia kitita cha milioni saba jambo ambalo limeongeza hamasa ya mashindano hayo kwa vijana wengine nchini.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu