Akipiga stori na Big Chawa wa Planet Bongo kwenye East Africa Radio, Mr. Nice amesema kutokana na fedha alizopata alijenga nyumba yake mwenyewe, na kwamba mpaka sasa yuko vizuri kiuchumi kani hata kufua hafui kwa mkono bali hutumia mashine, na hata akienda chooni habebi kopo na kusindikizwa na mbwa kama ilivyo kwa watu wengi wa kipato cha chini.
Msikilize hapa chini