Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sina mpango wa kujiunga QS - Timbulo

Friday , 24th Mar , 2017

Msanii Timbulo ambaye kwa sasa anatamba na kibao chake kipya kinachokwenda kwa jina la ‘mfuasi’ amesema hawezi kujiunga katika 'Label' ya QS Mhonda kwa kuwa hana imani nayo kama wanafanya biashara ya muziki.

Timbulo

Hayo yamekuja baada ya tetesi zilizoibuka kuwa msanii huyo amekataliwa kuingia katika uongozi wa Mhonda ambao ndiyo ulikuwa unasimamia kazi za Q Chillah hapo awali kabla hawajaingia katika vurumai ya kimkataba.

“Q Chillah ameshawahi kuwa na bendi  amefanya 'show' nyingi sana na watu wanajua hajawahi kufanya kitu chochote cha maajabu, kwa mimi binafsi sidhani kama QS ni menejementi ya muziki”. Alisema Timbulo wakati anahojiwa katika kipindi cha eNewz kutoka EATV.

Aidha msanii huyo amesema anamkubali sana Chillah ingawa kwa sasa siyo yule wa kipindi kile anayemfahamu katika ubora wake, huku akirusha kombora kwa Mhonda na kumwambia hajaona msaada aliyoutoa kwenye kuusogeza muziki wake (Chillah) zaidi ya msaada wa kimaisha ikiwemo kuwapa wasanii nyumba za kuishi na magari yakutembelea.

Kwa upande mwingine msanii huyo amesema ukimya wake katika muziki una faida kubwa kwani asingekuwa na usimamizi mzuri basi sasa hivi naye angekuwa katika kundi la kuutumia dawa za kulevya.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90