Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Singeli haijanishinda - Khalid Chokoraa

Tuesday , 28th Mar , 2017

Msanii Khalid Chokoraa aliyekuwa anafanya vizuri katika miondoko ya dansi amekanusha zile tetesi ya yeye kufeli muziki wa singeli na kusema hakuna ukweli katika hilo kwa sababu kazi zake mpaka sasa zimepata mapokezi mazuri pamoja na ‘airtime’.

Khalid Cokoraa

 

Akiongea kupitia kipindi cha eNewz Chokoraa amesema hawezi kushangazwa na hayo maneno kwa kuwa kila kitu ni mipango huku akisisitizia watu wawe na subira watamuelewa anachokifanya japokuwa itachukua muda mrefu.

“Mimi malengo yangu yanaenda vizuri kwa sababu kila kitu ni mipango tu, huwezi kuwa na 10 bila ya kuanza moja kwa hiyo tunaenda vizuri kwenye muziki wa singeli, nimeshaachia nyimbo mbili mpaka sasa,  ya kwanza inaitwa ‘Baba mwenye nyumba’ na ya pili nimefanya na Kalala Junior. Tunajiita watoto wa nje ya ndoa”. Alisema Chokoraa

Pamoja na hayo msanii huyo amesema yeye amezaliwa ndani ya ndoa ila ameamua kutumia jina la watoto wa nje ya ndoa kama mwamvuli kwa watu wanaomzunguka ambao hawajapatikana katika mchakato wa halali.

Kwa upande mwingine Chokoraa amesema hana mpango wa kutoa albam kama wasanii wengine ila yeye ataendelea na ule utamaduni wa kuachia ‘ngoma’ kisha kufanya ‘show’ kwa madai kuwa albam hazilipi

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90