Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Sio lazima uwe shabiki wa Baraka'' - Baraka

Wednesday , 3rd Jul , 2019

Msanii wa muziki wa kizazi hapa nchini Baraka the Prince, amenyoosha maelezo juu ya suala la yeye kushuka kimuziki, na suala zima la mahusiano yake na Naj.

Baraka the Prince

Baraka the prince amesema hayo leo kupitia EATV&EARadio Digital, baada ya mashabiki zake kusema kwa sasa ameshuka kimuziki.

"Binadamu kaongea, kwani mdomo wa binadamu si upo kwa ajili ya kuongea, hao si mabubu wanaweza kuongea chochote na ndio fikra zao na upeo wao ulipoishia. Mtu kama anaona nimeshuka kimpango wake, mimi pia najua navyoishi kimpango wangu, kama unaona nimeshuka wasanii wapo wengi sio lazima uwe shabiki wa Baraka"

Aidha msanii huyo amezungumzia suala la mahusiano yake kwa sasa na ameweka wazi kuwa hataki kusikia mapenzi  baada ya kuulizwa kuhusu aliyekua mpenzi wake Naj.

"Siwezi kuongelea suala la mahusiano, watu waongee kuhusu kazi zangu, watu waongelee kazi za muziki, kama unataka kuuliza kuhusu Naj mtafute mwenyewe umuulize anaweza akawapa jibu, nina mambo mengi ya kuyaongelea sio mapenzi".

Wawili hao wamezua sintofahamu kubwa kwa kila mmoja baada ya kufutiana picha na kila mtu kumu-unfollow mwenzake katika mtandao wa kijamii wa instagram, hali inayonyesha kutokuwa sawa kwa sasa.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine