Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sister Fay afunguka kuhusu Holly Star

Monday , 15th Apr , 2019

Msanii wa muziki na filamu Bongo, Sister Fay, kwa mara ya kwanza amefunguka ukweli juu ya kinachoendelea kati yake na msanii Holly Star, ambaye wengi waliamini kuwa ni mpenzi wake.

Akifunguka juu ya hilo, Sister Fay amesema kwamba hakuwahi kuwa na mahusiano na Holly Star, bali ilikuwa ni maigizo aliyokuwa akiyafanya, ambayo wengi waliamini ni kweli kutokana na uwezo wake mkubwa wa kuigiza.

Sister Fay amesema kwamba ana uwezo mkubwa sana kwenye kuigiza, na ndio maana alifanikiwa kuwashawishi wengi kuhusu mahusiano yake na holly Star na kuonekana kama kuna ukweli.

Sister Fay anatoa siri 

“Jamani mimi ni msanii, sasa hivi mnatakiwe mjue wasanii tupo, tunaweza kuigiza kitu mpaka mtu akaona ni real. Ile ilikuwa ni sanaa jamani, nafikiri kwa mara ya kwanza naiongea hapa, sikupenda kuiongea mwanzoni kwa sababu niliona ukiiongea mwanzoni siwezi kufikia malengo yangu, ile ilikuwa ni sanaa”, amesema Sister Fay.

Hivi karibuni iliaminika kuwa msanii huyo kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na msanii Holly Star hadi kufikia hatua ya kufunga ndoa, baada ya picha kusambaa mitandaoni wakiwa na mavazi ya harusi.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90