Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uwoya kufunga ndoa kwa mara ya tatu

Thursday , 20th Jun , 2019

Mlimbwende kutoka kiwanda cha 'Bongo Movie' Irene Uwoya anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida amesema hatohitaji mchango wowote kutoka kwa mtu yeyote zaidi ya ushirikiano.

Uwoya akiwa na Dogo Janja (kushoto) pamoja na marehemu Ndikumana kulia.

Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na Uwoya kimesema kuwa mwanadada huyo ni kweli ameanzisha kikundi cha 'Whatsapp' na kusema dhamira yake hiyo lakini kutoa kauli ya kusisitiza kwamba hahitaji mchango wowote bali ni ushirikiano tu katika jambo hilo.

"Ni kweli hilo group lipo na amesema kama ulivyosikia hahitaji mchango wowote bali ni ushirikiano tu kutoka kwa wanatasnia, kitu ambacho tumeona sio kibaya ni jambo jema maana ameridhia mwenyewe na sio kwamba tumeshindwa kumchangia", kimesema chanzo hicho. 

Muigizaji Irene Uwoya akifunga ndoa hiyo itakuwa ni ya tatu baada ya ile ya kwanza ambayo alifunga mwaka 2007 na kufanikiwa kupata mtoto mmoja ambaye ni Krish na aliyekuwa raia wa Rwanda na mchezaji wa soka marehemu Hamad Ndikumana na nyingine alifunga na msanii wa muziki wa bongo fleva Dogo Janja ambayo imedumu kwa muda mfupi.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine