Msanii Roma Mkatoliki akiwa studio za East Africa Radio
Akizungumza Exclusive na mwandishi wa East Africa Television, Roma amesema hawezi kuacha kuimba siasa kwani siasa ni maisha ya kila siku, huku akiitaka serikali kuwapa uhuru wasanii kufanya kile wakipendacho kwenye sanaa yao.
Mtazame hapa chini akimpa makavu Mwakyembe.