Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wasanii hawa waungana kumsaidia Jetman

Sunday , 26th Feb , 2017

Wasanii watatu wa bongo fleva wameungana na wadau wengine katika kampeni ya 'Amka na Jet Man' kwa lengo la kumsaidia msanii mwenzao kutoka Jiji la Mwanza aliyepatwa matatizo ya kupooza mgongo na kumsababishia kulala kitandani takribani miaka 4 sasa.

Wasanii hao ni Ben Pol, Barakah The Prince na Jux ambao ni miongoni mwa wasanii walioweza kununua vionjo hivyo kwa kiasi cha shilingi laki moja kwa kila mmoja na kutoa mchango wao wa jumla wa shilingi laki 5.

“Katika fedha tulizoingiza tumetoa Sh 500,000 na pia tumeongeza kila mmoja Sh 100,000, imefika Sh 800,000 tumempa rafiki yetu na msanii mwenzetu kwa mapenzi yetu ili zimsaidie katika baadhi ya mahitaji yake’’. Alisema Ben Pol 

Aidha msanii huyo alisema huo siyo mwisho wao wa kumsaidia rafiki yao watazidi kutoa kwa kile walichojaaliwa kadri ya uwezo wao.

Jetman

Licha ya maumivu makali anayoyapata msanii huyo hajaacha kufanya muziki sababu anaamini ndio mkombozi wake,wasanii wengi wameonekana kuguswa na suala hilo wengine wakipendekeza 'Riddim' za nyimbo zake ziuzwe ili waweze kupata kiasi cha shilingi milioni 12 aweze kwenda nchini India kupatiwa matibabu.  

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine