Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wastara aiangukia serikali kuhusu gari

Tuesday , 18th Dec , 2018

Msanii wa filamu bongo Wastara Juma ameiomba serikali kumsaidia kupata gari lake, ambalo limezuiliwa bandarini kutokana na kutolipiwa ushuru.

Akizungumza na www.eatv.tv, Wastara amesema kwamba gari hilo alipewa msaada na mtu kutoka Japan, lakini anashindwa kulipata kutokana na kutokuwa na uwezo wa kulipia ushuru.

Ameendelea kusema kuwa ameshahangaika mpaka kwa vyama vya walemavu kuweza kupata msaada, lakini imeshindikana huku wakimtaka alipie gari hiyo au iwe gari maalum ya walemavu.

“Sina uwezo wa kutembea mwendo mrefu, kuna mtu ametoka huko Japan akasema mimi nakusaidia gari, akaona kwa biashara ninazofanya litanisaidia, kweli gari ikatumwa, nikahangaikia usafiri gari ikafika, mimi kama mlemavu nikahangaika kwenye vyama vya walemavu vinisaidie lile gari nilipate free, ushuru wake ni milioni 6 hadi 7, vyama vya walemavu wameshindwa kunisaidia, wakaniambia mpaka iwe gari ya walemavu, sasa mtu kataka kunisaidia tu mpaka nimpangie liwe la walemavu, kama gari zilijaa kwenye yard yake”, amesema Wastara.

Wastara aliendelea kuwa, “Sina uwezo wa kuligomboa nabaki kuliangalia tu, mpaka kwa waziri nimefika anisaidie, sasa mimi sioni msaada, nakaa nawaza, mambo kama haya unaweza kuta mtu kafa ghafla kwa sababu nina mlundikano wa mawazo, niwaombe wanisaidie kulitoa gari langu, niwaambie hili gari ni la msaada".

Licha ya hayo yote Wastara amesema iwapo atalipata gari hilo litamsaidia, kwasababu ana familia kubwa anayoilea, wakiwemo watoto wake na watoto wengine ambao si wake.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali